Joel 2:4-5


4 Wanaonekana kama farasi;
wanakwenda mbio
kama askari wapanda farasi.

5 aWanatoa sauti kama magari ya vita,
wanaporukaruka juu ya vilele vya milima,
kama mlio wa miali ya moto ilayo mabua,
kama jeshi kubwa lililojipanga kwa ajili ya vita.

Copyright information for SwhKC